HADITHI YA KUKU
Habari ya leo rafiki yangu, siku yako imekaaje? Natumaini tuko pamoja na tunaendelea kujifunza pamoja karibu tena tujifunze kupitia kisa cha kuku. Jifunze kutoka kwa kuku .... Ninayo hadithi fupi ya kweli ambayo imetokana na kitu nilichojifunza kwa kuku mmoja nikiwa ninalima shamba. Unajua unapotambua kuwa kuku na wao wanakula ndipo unapojua kuwa nawao wanatafuta ulaji(ridhiki)! Sasa basi kulikuwa na kuku watatu wawili matemba na mmoja jogoo. Miongoni mwa matemba alikuepo temba mmoja mdogo, huyu ndiye aliyenisukuma nikuhadithie habari hizi. Huyu kuku alikuwa anatafuta chakula chake na haikuwa tu chakula lakini ni wadudu ambao huwa ni adamu kipindi cha kiangazi na mbaya zaidi wanaishi ndani ya ardhi. Ni wadudu fulani jamii ya funza weupe wanapendwa sana na kuku! Mambo niliyoyaona kwa kuku huyo, 1 ) Huyu kuku alijua anachokiataka . Licha ya kuzungukwa na kuku wengine wakubwa bado hakuwa muoga, hakuwaogopa kuku wenzie cha ajabu kabisa hata mimi na jembe hakutuogopa alichokiangal...
Comments
Post a Comment